THERE IS ONLY ONE JK IN HISTORY OF TANZANIA EVER. Hayati mwalimu - TopicsExpress



          

THERE IS ONLY ONE JK IN HISTORY OF TANZANIA EVER. Hayati mwalimu JK Nyerere baada ya kufariki alitangazwa na kanisa katoliki duniani kuwa alikuwa Mwenye Heri kutokana na matendo ambayo aliyatenda enzi za uhai wake kama ambavyo wale manabii walivyotangazwa kuwa watakatifu baada ya vifo vyao yote ile ni baada ya kuangaliwa mienendo ya maisha yao walipokua hai.....Nadhani kama tungefuata misingi ya uongozi ambayo imeachwa na Mwalimu sidhani kama nchi yetu ingeyumba hadi kufikia hatua ya 90% ya wananchi Tanzania kutokuwa na Imani na raisi hii ni hatari sana.....Nyerere hakutaka kutoa chance ya whites kutushika kila upande alijitahidi sana.lakini kwa sasa tunarudi kwa walichokisema hawa wasanii wakubwa Tanzania Big up Afande na GK mnafikiri sana broz. waliompoteza mbwa kwa miluzi mingi wapo wanakula good tyme....kuzaliwa Africa ni baraka au Laana? Siku zinavyozidi kwenda whites wanacontrol maisha yetu kwa jinsi wanavyotaka wao. Tukeshe tukiomba kwani Mungu ndo mwisho wa matatizo na shida zote,hawa jamaa wanatumia nguvu kubwa sana kucontrol maisha yetu Waafrica na baadhi ya mataifa ya third world countries kwa jinsi wanavyotaka wao na wameshafanikiwa kwa zaidi ya 50%.mwisho wa siku hata hawa tunaowaita maraisi wetu thamani yao itakuw kama hawa omba omba wa barabarani,wanaweza hawa jamaa...ogopa sana Just be strong tusigubikwe na imani potofu Mungu hakumleta mja wake duniani kuteseka bali alimmlikisha kila kilichopo duniani hivyo ni kweli kabisa bro GK tupige vita maovu kwani hata mbinguni vita ilipigana kumpinga shetani na mwishowe alifungiwa na kutupwa duniani. Big up Mugabe God bless you uendelee na moyo wa ujasiri Big up Nelson Mandela RIP JK Nyerere #Nyerere day#
Posted on: Wed, 16 Oct 2013 15:19:29 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015