Welcome SADC to your lovely country Tanzania. Japo kuna mwiba moja hapo mama Malawi, but I think we will be better with you than EAC. Washakua wachawi huku hawakawii kutuvuruga, wametolea macho opportunities zetu kibwena das y they want this union so badly, and now getting mad at us kutoitilia maanani EAC. Sisi waona mbali, hawa majirani zetu ni shit magumashi, kujifanya wajanja wabinafsi na wachonganishi wakubwa. We better off without you K,U,R,B..mnazinguaaaa!!
Posted on: Fri, 12 Jul 2013 22:23:16 +0000
Recently Viewed Topics
© 2015