Asante tours hiki unachokifanya si ubinadamu Hatimae baada ya TPO(Tanzania Poters Organisation)kuendesha mkakati wa kupigania poters Kilimanjaro waliokuwa wananyanyaswa na kampuni ya Asante Tours sasa mmililiki wa kampuni hiyo ameanza kuwatisha wafanyakazi hao na juzi amemteka mmoja na kumjeruhi vibaya na tayari jalada lipo polisi. Na imethibitika kuwa mmiliki huyo anashirikiana na Naibu waziri wa maliasili na Utalii ambaye amenunua share kwenye kampuni hiyo. Tunaiomba serikali kuingilia kati suala hili
Posted on: Tue, 24 Sep 2013 11:02:44 +0000