Basi nasema,enenden kwa roho wa hamtazitimiza tamaa za mwili,kw 7bu mwili hutaman ukishndana na roho,bac matendo ya mwili ni uasherat uchaw uadui ugomvi wiv hacira ulaf fitina nk,Lakn mambo roho n u2 wema aman upendo uvumilivu fadhil uaminif nk,haya maneno ni kutoka WAGALATIA 5,16-17,19-22,MUNGU a2pe nguvu ya roho mt.2weze kuyaishi na kuyafuata mafundsho ya daima na milele mbarkiwe xn wana wa MUNGU
Posted on: Sat, 31 Aug 2013 15:37:54 +0000
Trending Topics
Recently Viewed Topics
© 2015