Dear Mama.... Asante mama leo ni siku nyingine nakuja mbele yako - TopicsExpress



          

Dear Mama.... Asante mama leo ni siku nyingine nakuja mbele yako mama cna mama mwingine mama we ndo kimbilio sion tena mwingine c unacheq cna furaha kama watoto wengine wengine wanakula ganja nakudata wengine. mm bado nipo gheto na masela wengine pengine labda umenichoka au umensahau pengine lakini hapana, we c kama yule mama mwingine, umenizaa ww mama co mama mwingine tena mimba yangu ililelewa na baba mwingine.........
Posted on: Wed, 03 Jul 2013 08:34:23 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015