HEY GUYS, niaje mazee mkopoaaaaaaaaaaaa, basi sawa bila kukosa - TopicsExpress



          

HEY GUYS, niaje mazee mkopoaaaaaaaaaaaa, basi sawa bila kukosa tarehe 30 mwezi huu mwaka huu huu, Tukutane ndani ya Maisha club katika uzinduzi wa kampuni ya KM FANTASITIC inayomuuhusu Masawe Mtata wa Ze Comedi Show ya East Africa,pamoja na uzinduzi wa films na video kali yanyimbo yake, Stand Up Comedy itahusika kutoka kwa Comedy ya East Africa na wengine kibaaaaoooo wasanii kibao na wakali wakimsindikiza msikose nami pia nitakuwepo On stage,, Share na wengine wajue njoooo uondoe stressss kwa kuuanza mwezi mpya,,,
Posted on: Thu, 27 Jun 2013 07:11:58 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015