Hamalys Hulubatu Jambo wote, Habari tunazo zipokea asubui ya leo - TopicsExpress



          

Hamalys Hulubatu Jambo wote, Habari tunazo zipokea asubui ya leo zinasema yakua Honorable Ambatobe alikua Force na umoja wa mataifa kukatikiza ziara yake mu territoire ya Fizi hapo jana , kwa ajili ya Vurungu na accusations ambazo watu wa ANR na FARDC wana mtupia kwa ajili ya discour zake mu territoires nzima. Inasemekana yakama Honorable Ambatobe aliamua kama, kawaida yake ku pitisha vacances yake parlementaires mu fief yake electoaral ya FIZI, ku fanya ma meeting kuonana nawatu kuwasikiliza na kutaka kujua maoni yao kwa jia ya azarani ao kibinafsi. Aliahaza na secteur ya lulenge, ali simama katika vijiji 6 sita, Ma swali zili kua kama Vua, ila swali kubwa ilikua, bara bara, Umeme, Usalama,walimu wa dai mishahara yao 3 mois pasipo kulipwa. na secteur yao iko naogozawa na chef ambaye anaishi UVIRA, Mu secteur ya Ngaja, alikua lulimba, misisi, kazimia, Fizi centre… alisimama katika vijiji 9, Maswali iliogoza ilikua Umeme, bara bara, tanganika kufungwa(akuna kuvua samaki), Usalama, Kuchiba ma dini ya Fizi. Swali hingene ni inayo leta vurungu kati ya kabila zetu ni Ngobe za wanyarwanda ziko partout mu territoire ya Fizi. Na zina haribu ma shamba za wa rahia, wanapo ripote ku serkali tena rahiya inapingwa nakunyamazishwa na jeshi ya taifa. Secteur Ya Mutambala, swali zilozo hongoza Usalama, uvuvi wa samaki,bara bara, maji bora, Secteur ya tanganika alikua natarajiwa kufanya meeting na kuonana na watu ilikusikiliza maoni ya watu , LWEBA,LULENDA , LUSENDA, SANGYA, MBOKO,ABUMBE, ABEKA, SWEMA, MAKOBOLA, Usalama: 1)Watu wana uliiza kwanini serkali inashindwa kuodowa Jeshi ya kabila la kimyamulenge kwenye ma poste cle ya commendement mu Fizi? 2) kwanini serkali ina shindwa kuleta amani ya kudumu Fizi? 3) kwanini serkali ilishindwa kuheshimu madai ya YAK kwa ajili ya faida ya rahii? Yaani kuleta amani ya kudumu kati ya YAK na Fardc? 4)kwanini Jeshi la taifa na wa mai mai wana wanausi na kunyaganya buzi,kuku zao kwenye ma parcele yao na ku baka wake zao na dada zao? Serkali iko wapi? 5) Tracasseries za FARDC na MAI MAI muma bara bara na muma parcelle zitaisha lini?.... 6) ma jeshi hii yaw a FDLR … itatoka mu territoire yetu lini na kivipi? Jibu kwa swali hizo: .Hon. ali wahambia watu kama wajue kama akuna Volonte politique ya serkali kuleta amani kwetu. Yote haya tulisha ya zungumuzia Bungeni na kuita waziri wa Ulizi , ila mabadiliko sur terrain akuna! Anaendele kutoa critiques zake kwa Raisi na jeshi lake kushindwa kulinda watu wake na mali zao ni ahibu! Kwaiyo Populations munapashwa kujiprendre encharges cad: -Mutowe wonga kwa yeyote ule ao jeshi lote lile linalo kuja kuwanyanyasa. -semeni NO kwa yeyote atakaye kuja ku wa intimider, Awe mai mai ao Fardc Semeni No kwa yeyote atakaye kuja ku baka dada ao mama Yetu, semeni No kwa yeyote atakaye kuja kuchukua buzi zetu...Semeni No kwa yeyote ule atakaye fanya tendo la unyama kwenu. Electricite : Watoto wa Fizi wanauliza kama lini serkali inawaza kuwatilia Umeme amboa mungu alio wapatia kutoka ku Force Bendera? Jibu: Hon , aliedelea kulaumu Rais na serkali yake kwa ku kosa volonte yaku fanya hivyo kama walivyo fanya bu vitu vidogo dongo mahali pengine mu DRC, akalaani umeme wa groupe electrogene ambao unahongeza umaskini kwa wa rahia ambao awana mapato mjini Baraka. Facture za Umeme ziko na fika plus de $30 par mois na 90 % ya population ya Baraka iko na Revenue ya moins de $20 par mois . Alors kila mtu anataka kua na umeme hata kama hana uwezo wa kulipa, hamuone kama serkali inaedelea ku chonganisha watu ( ao kuhuwisha watu kuliko kuwa linda?) Uvuvi Watu waliuliza kusema comment explique serkali inawakataza wa si vuwe samaki eti samaki zina kwisha na wanabindi kusubiri hadi zi zahane, na gabo ingine wa Marin wa nachukua rushwa ya wavuaji wa Burundi na kuja kuvua katiaka maji yetu? Na sisi tuna kufa na jaa? Jibu: Hon . ali laani serkali mara tena na akasema , Hakuna maana ya Reglementation iyo puisque inaedele kutesa rahiya kwaiyo watu mwende kuvua samaki, mimi nitaonana na Chef de secteur, Chef de territoire na wakubwa wa Jibo Bukavu, mbele ni rundi Kinshasa. Leo kuko technologie ambazo ziko avance zakuzalisha samaki mu lac haraka serkali inajua hivyo kwa nini wasifanye hivyo? wanataka watu wafe tu? NO. muvue samaki tafazali kabla watoto awaja pata bwaki. Absence de chef de secteur de Lulenge Lulenge ni karibuni mwaka awana chef de secteur, baada ya mafarakano yake chef Ayumba na Gen sikatenda, ila serkali inaedelea ku mu considere chef ayumba ambaye anishi Uvira, naku mupa ma Fonds zote za secteur. Na huku population in alia. Jibu: ali ahindi kuonana na wa kubwa wa Jimbo Bukavu. Bara bara Watu waliuliza kuusu bara bara, Lini itaazwa kujengwa ao kutiliwa Lami? Jibu: akuna volonte ya serkali kufanya kitu kizuri kama hicho kwetu. Swali ingine walio muuliza Abela samedi : Hon. Katika ziara yako yote mu territoire una muaalini Rais na ahukubali kama kuna vitu anavyo saidia Fizi, Est ce que ni kweli? Na kama si kweli uko tayari ku kumshukuru raisi ao sekali yake kwa mema aliofanyia watu wako? Jibu: kweli itabaki kweli, Raisi na serkali yake kuna nafasi anayo fanya bu vitu vidogo dogo vizuri ila Fizi hakuna, Siku ataleta USALAMA, UMEME, BARA BARA, mu fizi nita mutumia barua ya shukrani zangu za zati ,hata kama ni devoir yake kufanya hivyo kwa rahiya wake, itakua privilege kwetu. Ila wakati anapo nyanyasa watu wangu mtu kama huyu uta taka ni mshuku na mnagani ?kwakuhuwa watu wangu? Uhuru wa Hon. Ambatobe muwasi wasi kwao Baada ya Meeting yake Lundi 13/08 na kuonana nawatu pa kijiji cha Abela, alirundi Baraka, Kuamukia asubui ya Mardi vita ika haza Baraka, confusion ili kua mingi, watu wa umoja wa mataifa wali muogata Baharini na warahiya, bahada ya kuagaika kumtafuta masaa 6. wakamuabia kama anapashwa kutoka mu territoire leo, waka mutia mu gari yao hadi Bukavu. Jana hiyo. Wakamuabia arudi Kinshasa. Akasema anataka kumalizia programme yake yakuoanana na watu mu secteur ya tanganika kama alivyo pangilia. Wakamuambia Unapashwa kwenda kwa sababu ANR,FARDC, inakustaki kua wewe ndiye ume muleta Yak mu Baraka, uko na mawasiano na yak, wakasema depuis ba mai mai wawe awaja wahi ku attaque Baraka mais avec tes Discours na prensence yako mu Baraka ina entete Raia. Akasema yote nilio sema ni ukweli mtupu mimi sina mawasiliano ya mbali ao ya karibu na Yak. Ila na fanya kazi yangu kama vile sharia inavyosema. Akusikia damu ya ujana ili mupanda jana alishuka Uvira nagari yawa biria kutoka Bukavu, akakutana na wazee waka muzuia hapo. Wanamuomba arudi kin na arudi kumalizia zihara yake December ili pepo hii ipite kwaza. Kifupi usalama mu territoire ya fizi ungali wa wasai wasi. Mungu Abariki Fizi yetu na congo Yetu na watu wake. Hamalys
Posted on: Sat, 17 Aug 2013 10:38:20 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015