KWA NINI UNITED WANAPATA UGUMU KWENYE KUTAKA KUSAJILI WACHEZAJI - TopicsExpress



          

KWA NINI UNITED WANAPATA UGUMU KWENYE KUTAKA KUSAJILI WACHEZAJI WANAO WAHITAJI ZAIDI? Sir Alex ferguson alisemekana alikua mbahili kwenye kutumia pesa kwa ajili ya usajili. katika kipindi chake alishuhudia akiwakosa kina.... Ronaldhinho 2003,Arjen Robben 2004,pia aliwakosa kina,karim benzema,mesut ozil,samir nasri,wesley sneijder,David villa,Lucas moura na Eden hazard wakienda timu nyingine. Moyes kaambiwa united hakuna bajeti katika kusajili wachezaji unao wataka kuwa sajili. Licha ya hivyo Moyes tayari kasha mkosa Thiago alcantara licha ya kumtamanisha na mshahara mkubwa £6.5 kwa mwaka, ambao ni mara tatu aliokua akipewa na barcelona. Unaziba vipi pengo la Paul scholes?
Posted on: Mon, 15 Jul 2013 15:22:57 +0000

Trending Topics



(3 DAYS
God, Gods, and Fairies by David Bentley Hart One of the
Spaces are full for our 2014 #ROV Pilot Technician courses in Fort
Can you blow my whistle baby, whistle baby, let me know Girl I’m

Recently Viewed Topics




© 2015