MICHEZO NA PASSION FM,,,,,leo juni 20 2013,,,,,,kuanzia saa mbili - TopicsExpress



          

MICHEZO NA PASSION FM,,,,,leo juni 20 2013,,,,,,kuanzia saa mbili na nusu hadi tatu usiku,,,,,kwa ufupi ni pamoja,,,,,HATMA YA JUMA KASEJA simba kujulikana hii leo kupitia kamati ya zakaria hanspop,,kukutana na kutoa tamko,,,COSTAL WATUPA KIJEMBE SIMBA wasema watajuta kumtema Boban na nyoso,,, HUKU KWINGINE CHANETA sasa yatembeza bakuli kuomba msaada wa kupatiwa ofisi ya kudumu,, KIMATAIFA SASA,,MDEBWEDO WA NIGERIA USO KWA USO NA WABABE WA SOKA katika michuano ya mabara,,,yaani ni SPAIN NA TAHITI,,,,kutana na juma idd,,hilal sadala na mimi ben mwana wa wana,,,,,,,,LETENI MAONI NA COMMENT ZA KUTOSHA
Posted on: Thu, 20 Jun 2013 15:51:45 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015