Mzee 1..alinunua gari aina ya DALADALA,,kutokana na tabia - TopicsExpress



          

Mzee 1..alinunua gari aina ya DALADALA,,kutokana na tabia ya walimwengu akaenda KISII kutafuta mganga wa kumkinga yeye na gari yake..Akafanikiwa kupata waganga wa3...akawa anawapeleka NAI,,wakiwa njiani wale waganga wakapimana nguvu il kumuonyesha uwezo mzee mwenye gari.. Mambo yakawa hivi!!! "mganga wa1:;.Akaonyesha kidole juu mara mvua ya maana ikanyesha...akarudia tena ikaacha.! Mzee akapagawa!! baadae mganga wa2 akakohoa Tair zote zkapata pancha na bado gari mwendo uleule!!..akarudia tena Pressure ukajaa.. Mzee mwenye gari akatangaza ubingwa kwa yule mganga wa pili.Walipokaribia Nairobi wote wakiwa na furaha..Yule mganga wa3 akasema maneno maTano 2..Wakajikuta bado wapo Kisii wanaanza safari upyaaa!!
Posted on: Mon, 16 Sep 2013 06:39:09 +0000

Trending Topics



-height:30px;">
1GB RAM Memory for Gigabyte GS-SR114RE (PC2100 - ECC) -

Recently Viewed Topics




© 2015