Najua wengi wenu amjui jinsi ya kumpata mpenzi mpaka mgaramike. - TopicsExpress



          

Najua wengi wenu amjui jinsi ya kumpata mpenzi mpaka mgaramike. Wengi wenu nyinyi kwa mara ya kwanza umekutana na mdada kitu cha kwanza unajionyesha kwa jinsi gani unao uwezo wa kifedha. Unafanya hivyo kwa sababu hauna "impessive skill" akili ya kumteka. Kijana nakuambia, pasipo kutumia pesa uta mteka mpenzi na kufanya naye mambo yetu yalee karibu siku zote bila kugharamika. List chini ni vitu ambavyo nakufunda uvifanyie kazi 1 - akili ya mazungumzo/ inahusisha sana sauti ya kimahabati. Ukiongea kama chiriku shauri yako. Tulia, panga point changanya na sauti ya mvuto utaniambia. 2-Uwezo wa kumfanya mdada acheke mara kwa mara. Siyo unaongea na manzi unakuwa kama hakimu anasoma hukumu, tunga stori za uwongo na kweli. Nyingi ziwe za uwongo. Hawa viumbe Mungu alivyo waumba, uwongo ndio ukweli kwao. 3-uwe mbunifu, hapa sasa kwenye mambo yetu yalee. Kila siku akutane na mambo mapya. Mapenzi ni uchafu ukifanya uchafu wote walahi tena utakuja niambia kweli mimi noma. Ukiweka ulimi pale akikisha antena yake imesimama wima, asipo omba Poo!! Usibanduke mpaka yeye agome kabisa. Kikieleweka akikisha unajutuma vizuri kunako 6X6. kipimo chako kizuri ni yeye kupata usingizi wa kutosha baada ya tendo. Hapo big up, umefuzu kiwango. 4-Jiweke simple kabisa, afahamu wewe maisha yako ya kuunga unga. Ila akikisha unakuwa msafi wa mwili na mavazi pamoja na sehemu unayo lala. 5-Jifanye auna wivu kabisa, akizungua mzingue mara mbili. Hawa viumbe kwa kutest ndio wenyewe. Anaweza kukuambia me & u is over, wewe piga kimya tu. Siku ya kwanza itapita, kesho yake huyoo. Mwambie mimi nilikubaliana na maamuzi yako. Siku nyingine akirudia njoo unisute. Ukijifanya Baby why why, atakubwaga ki kweli kweli unajiona hivi hivi. Tatizo lenu vijana amjiamini nyinyi wenyewe mnahonga mpaka sasa inafikia hawa ma manzi awajitumi kujitafutia riziki kwa kazi za mikono yao pamoja na akili walizo pewa na Mungu. Embu mabuzi tukate kamba tuwaone. Mambo ya LOVE & CARE yamepitwa na wakati. Sasa libakie LOVE tu. Wanaume oyeeeee!!!
Posted on: Sat, 28 Sep 2013 05:43:40 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015