Serikali yetu sikivu imeamua kutoza kodi ya shs 1000 kwa mwezi katika kadi za simu, na anaelipa ni mtanzania mwenye kipato cha kusuasua, wakati wananchi wanalalamika gharama za mawasiliano zipo juu, ndo kwanza wakubwa wanongeza kodi, huku bunge letu la ndiooooooooooo likishabikia bajeti hiyo na kusema itambomboa mtanzania mlala hoi, huu ni msumari wa moto kwenye kidonda, Napata matumaini KODI YA KICHWA NA YA BAISKELI zitarudi, swali la msingi gesi,madini na rasilimali zinafaida gan kwa nchi hii?
Posted on: Sat, 06 Jul 2013 10:31:42 +0000