TANZANIA NA BRN? 2nalenga nn? Sifa au matokeo? Cfa huja kwa - TopicsExpress



          

TANZANIA NA BRN? 2nalenga nn? Sifa au matokeo? Cfa huja kwa mikakat ya mda mfup na matokeo ni maandalizi ya muda mref. Na ndo mana yanawezakuwa matokeo chanya hata hasi. Natolea mfano. Labda ipo tofaut kati ya mtwr (manispaa na vijijin) ingawa ni za kawaida ila hakuna tofaut xna kati ya Newala na Mtwr (v) 2napotaka matokeo makubwa tena kwa nchi nzma yasiwe matokeo makubwa kwa gvt bt pia kwa wananch 7bu wao ndo kila kitu. Imepita mitihan ya drs la 4. Mwl amekwenda kucmamia mtwr manispaa 32000tsh per day pia amepelekwa kituon na gari. Newala 20000 per day, mtwr v tetes znasema ni tsh 5000 per day ni tetes coz bdo hazjafika kwa hao walimu had jana ijumaa. Unaandaaje BRN? Mwl anacmamia mtihan mwendo wa saa 1 on foot tena kwa njia ya mkato ambayo hata baiskel haipiti! Hata kama pikipiki ingepita angeendaje na amekopesha kucmamia? Kwa maana atoe pesa ya ugal wa wanawe anunue mafuta how come? Kama wa mjini ameweza kupatiwa kiwango kikubwa cha pesa na usafir amepewa je unamuangaliaje huyu wa kijijini? Au ndo BRN? Unampa pesa ndogo ambayo hata kama anayo pkpk bnafs haitoshei hata mafuta. Kama wengne wameweza cc tunashndwaje? Moyo wa kufanya kaz utakuwepo? Na je 2najenga 2nabmoa? 2naandaa taifa la namna gan? Je chuki na matabaka vitakosekana? Bas kama wewe umevaa viatu ktk safari wafikirie na wenzako ambao wanaungua na juaa ucwapeleke tu kwa kuona madhar ww waenda vzr bas kila kitu level. Cku ya leo nimekuwa na mengi ya kuzungumza cha muhimu naomba coments zenu nadhan zitaniboresha zaid. Kwa status ya mji wa mikindan kama una ya ziada ambayo mimi cjayaeleza ongezea ingawa bdo naendelea kulitazama eneo la mikindan na kila nipatapo wasaa nitawaeleza yanayojir kwa muda niliopo
Posted on: Sat, 23 Nov 2013 17:58:02 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015