Zamani m2 ulikua ukiwa na demu sikuhyo akija getow lazma ufurahi - TopicsExpress



          

Zamani m2 ulikua ukiwa na demu sikuhyo akija getow lazma ufurahi couz akikuta chumba kichafu atakufagilia kama unanguo au mashuka machafu atakufulia!! Lakini madm wasikuhz full majanga dm anakuja geto hata kitanda anashndwa kutandika...ukimwambia swala lakupika ndo kabsaa atanuna hata gm yenyewe anaeza asikupe kibya zaidi mkimaliza kupiga game kitanda anatandika mwanaume hata kwenda kuoga anaona kaza atajifuta na taulo pale then ata2pia chupi yake then anaxepa hvyo hvyo.... Hv kweli kama mwanaume ndo alikua na wazo la kuoa anaeza kweli akaoa dm kama huyu ambae bdo2 hujamuoa lakini hataki kukufulia wala kukupikia kitanda chenyewe kutandka anaona kazi Kiukweli kwa wale dada zangu wenye tabia hzo bdilikeni bwana ni jambo dogo2 ila linaweza kuku fanya usiolewe na huyo mwanaume ambae deile unaenda kulala nae..kutokana2 na wewe kutokuzingatia kua mwanaume ni kama mtoto mdogo vi2 vidogo vidogo vinaweza kumfanya akasahau madm wote akili yote ikawa kwako kutokana na wewe kuonyesha unamjali 5 kwa madm wote ambao wakiendaga kwa ma boy frnd zao hua wanawajibkaga kama tiari wamesha olewa hua hawaendag kugongwa2 na kuxepa #Team_Anakonda
Posted on: Sun, 28 Jul 2013 09:44:51 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015