ceo nikifikiria vile nimeangaika uk nikiosha wazee ndio nipata - TopicsExpress



          

ceo nikifikiria vile nimeangaika uk nikiosha wazee ndio nipata maisha mazuri nawewe na timu yako mnanifanyia hivyo hunyama mbaya hivyo ceo sinyamazi natafuta watu human right wanimbie kama hiyo ni haki nimekulipa deni yako yote lakini vitu vyangu wamenirudishia kama zimearibika loane 400 thausand nilikuwa na lipa 540 nimelipa naasara ya oqshenia mara mbili 100 thausand vitu kuibiwa 250 vitu vyangu mnafaa kunitengezea maana mmearibu mpaka machine yangu nilinunua uk hata hapa kenya hakuna love machine very but hunaingia bedroom we are just neighbour 2 mins work mbona nyinyi niwabaya hivyo ceo wacha nikwambie ceo america hilikuwa super power nawalianguka hatawewe hukiendeea kufanyia watu hawa small small people with there small money hutatoboa hii ni dunia
Posted on: Fri, 29 Nov 2013 05:44:59 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015