hi admine maitwa sandra kutoka southb. mimi hua sibilive kuna God - TopicsExpress



          

hi admine maitwa sandra kutoka southb. mimi hua sibilive kuna God ama shetani. i belive in fate na ina wake kama kuna God basi ako unfair sana coz sioni vile atapea watu utajiri na wengine umaskini. wengine magonjwa na wengine afya ama wengine uhai nawengine kifo i tell u dunia ya mtu huisha anapokufa.saa shida ni vile chali yangu huamka asubui na mapema kuanza kuomba tupate mtoto. hua amaomba mpaka analia namwona akiwa mjinga sana coz kwanza hakuna kitu kama mungu.kwanini watu hubilive kuna mungu?is there anyone with a solid evidence bila imagination za eti afya na uhai ni za mungu?
Posted on: Wed, 04 Sep 2013 14:12:01 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015