mwitikio wa watu ulikuwa mkubwa,watu waliotuma email zao pamoja simu,kiasi ilituwia vigumu kuwataka wote waje kwenye interview,ilitubidi tuchague baadhi ya watu ambao tulihisi wanaweza kukidhi sifa tulizozihitaji ingawa nao pia tulipata changamoto ya wengi wao kuja pasipo kuzingatia maelekezo na maagizo ya tangazo lilivyotaka,hivyo jana nikishilikiana na wataalamu wa hizo sekta .read more@thisisdiamond
Posted on: Thu, 28 Nov 2013 11:18:34 +0000
Trending Topics
Recently Viewed Topics
© 2015