(y) (y) UJUMBE/WAARAKA KWA VYOMBO VYA HABARI NCHINI TANZANIA (Y) - TopicsExpress



          

(y) (y) UJUMBE/WAARAKA KWA VYOMBO VYA HABARI NCHINI TANZANIA (Y) (Y) Kwaniaba Ya Wanamaendeleo Wote Nchini Hasa Wenyekuhitaji Mabadiliko Katika Sekta Ya Habari Na Burudani Nikiwa Nasimama Zaidi Juu Ya Kiu Ya Wasanii Wetu Bila Ya Ubaguzi Wa Aina Yoyote Ya Mziki Ni Kitu Cha Kushangaza Eti Chombo Fulani Cha Habari mediakuwa Na Bif/tif Na Msanii Fulani Haya Ni Maajabu Xana Halafu Eti Wanaweka Kipindi Chakujadili Eti Kwanini Mziki Wetu Haukui Utakuwa Vp Xaxa Huku Wahusika Mna Wivu? Hebu Mfuate Nyayo Za Nchi Kama Naijeria Minaweza Kusema Wanaijeria Hawaja Tushinda Sisi Kwa Kitu Chochote Cha Kisanaa Bali Wamepata Uzoefu Kutokana Na Media Zao Kuwapa Saport Kubwa Wasanii Kama P.Square Walipokuwa Wanaanza Gemu Ay Na FA Walisha Piga Hatua Davido Ukicheck Nyimbo Zake Na Za Diamond Utagundua Utofauti Leo Mtanzania Kutokana Na Kupandikizwa Sumu Na Media Yupo Radhi Amtukane Mxanii Matusi Yote Na Kumkejeli Wenye Media Msipo Badiliko Siku Si Nyingi Kila Msani Atakuwa Anamiliki Media #BBN_PLANTAZ #MBLACK
Posted on: Sat, 23 Nov 2013 18:12:44 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015