Akili kuna wakati huwa inawaza pumba xana. Kwenye harusi huwaga - TopicsExpress



          

Akili kuna wakati huwa inawaza pumba xana. Kwenye harusi huwaga nawawaziaga xana wadada yan kwenye Ndoa na Tendo la Ndoa na ile principle ya ukiolewa haulali na kyupii, afu unakutaa bwana haruc boonge zen bi haruc mwembamba kama mimi, tena utaxkia honeymoon wiki 2 kudadex hehehex! Ila kama kaweza huku kwenye mahusiano hata kwenye Ndoa ataweza. Kuna wadada wana uwezo wa kubeba hata mfuko wa cement indirectly ilaa wape mfuko wenyewe watajidai madaduu hawawezi wakat wanabebaga vitu vizito yaan! Ndo mana kina mama wanaliaga wakat wa kuwaaga mabint zao wanaoendga kuolewa huwa cz huwa wamewazoea n wanawaxaidia, zen anamfikiria mwanae anavyoenda kupata ile shughuli pevu toka kwa bwa harusi ambayo ye ana experience nayo toka kwa babaake na majukumu anayoenda kuyakabili. Via Honeymoon 2018.
Posted on: Fri, 30 Aug 2013 05:43:00 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015