Ati Mwakazi kinanipigia kikiuliza aty Dawa ya hangover ni gani.. - TopicsExpress



          

Ati Mwakazi kinanipigia kikiuliza aty Dawa ya hangover ni gani.. nkt Nilikua nakirespect kama maboy wapoa wa soaps mpaka kavoice kazuri... unaonanga kinajifanyanga Jeff Koinange waaah but Jana we show wat is behind the curtain.... Ngai fafa... Kilikuwa kinashout macho yote ikiwa nje.. ile nywele yake kinapakanga chemocal na dye ilikuwa ya brown kama ya m-boran... Kivoice ni kama mluhya amenyongwa na yawn yake nkt..... Mwakazi was drunk n was under influence of something else.... i gez bhang.... Mwakazi Ruined a good show Wacha uone madame wakimtetea.... A good show ended sore coz of Mr Drunk!!! Snex
Posted on: Sat, 02 Nov 2013 07:34:53 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015