Msinune bhana wala kunihukumu mana kuna watu wanafikira mbaya kama - TopicsExpress



          

Msinune bhana wala kunihukumu mana kuna watu wanafikira mbaya kama ladha za wacheza miduara, upo in relationship na mtu hata siku moja kwa bahati mbaya hakufariji plan zake juu yako ni zipi anachojali yeye ni michezo ya kuhema hema tu kama amebanwa na kichomi na hujali akitaka kurocha rocha tu ndugu yangu kama ni muosha maiti bora usepe umepewa maiti ya zombi coz dating without the intention of getting married is just like advertising a product that ur not selling be serious unless umeamua kua driving school au umeamua kuchukua uzoefu
Posted on: Tue, 15 Oct 2013 05:20:07 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015