NIMEIKUTA HUMU HUMU..... Hayo mambo ya kuvamia na kuteka - TopicsExpress



          

NIMEIKUTA HUMU HUMU..... Hayo mambo ya kuvamia na kuteka ma supermarket haya,ukisikia unaambiwa 'Baby nipeleke nikacheki Movie Mlimani City au Quality Centre" ujue huyo mrembo ana Ka-HARUFU ka AL SHAABAB,anataka kukupeleka machinjioni,sik u hizi hamna sijui Movie au kwenda kula kuku na Burger huko Shopping Mall Baby....naogopa AL SHAABAB.....na kwa kuwa nakupenda na nitakulinda naomba niwe nakupeleka kula Mihogo ya Mama Said pale Coco Baby....yaaani Baby hata hii mi saluni ya Sinza,Kinondoni na Mwenge inaweza kuwa na magaidi ...siku hizi saluni kwa kina Sikudhani,Havinitishi na Siyawezi Tandika na Temeke huko kuna usalama....nafa nya hivi kwa kuwa najali usalama wako Baby
Posted on: Sun, 29 Sep 2013 02:36:45 +0000

Trending Topics



TS ABOUT ME- https://facebook/ryanalimbon.sobrecarey -
bit.ly/10dbnc6 Barefoot Books With consistent effort, a
A GLIMPSE INTO GLORY – Shared by Pastor Adrian Rogers The
eight:30px;">
Were excited to have LIBRE CLTRA as a vendor at our swap! From
ARE YOU MARRIED TO YOUR CELLPHONE? Technology is evolving so
#AnnapolisJunction CNO Reverse Engineer - Raytheon Company -

Recently Viewed Topics




© 2015