Niaje admin kuna time bwana wangu alirequest niende kuishi ushago - TopicsExpress



          

Niaje admin kuna time bwana wangu alirequest niende kuishi ushago but vile nilienda life ikaanza kukua ngumu,njaa ilikua mob mbaka nikatamani tu kurudi nairobi,nikacall bwana wangu nikamwambia nataka kurudi nairobi maisha ya ushago imenilemea akakubali but akaniambia ningoje mbaka mwisho wa mwezi ndio anitumie pesa,nilikubali tu lakini sikubambika ju mwisho wa mwezi ilikua mbali. After two day kuna track moja ilipita na ikaharibikia karibu na home na ilikua na wanaume watano,wanajuanga ocha kuna shida ya pesa so waliniuliza wakinimanga wakiwa wote ni now much,nikawashow 2k na tukakubaliana,after wamenimanga wakanilipa then nikacome nairobi,nilienda kupimwa nikapatikana na H.I.V na daily bwana wangu hutaka kunimanga,sa sijui nimwambukize alafu ninyamazie ama nimwambie.plz help Mc Lazy
Posted on: Wed, 26 Jun 2013 08:07:58 +0000

Trending Topics



yle="min-height:30px;">
Isaiah 55:11 King James Version (KJV) 11 So shall my word be

Recently Viewed Topics




© 2015