Nmelala zanGu juu ya TOPAZ kali ina kutu huku nakula upupu mara - TopicsExpress



          

Nmelala zanGu juu ya TOPAZ kali ina kutu huku nakula upupu mara nkachek wamama wa kimasai kama twenti hv wana furaha ile mbaya nkamuulza m1 vp akanambia "wasiri mkuu kaita sisi ana2karipisa chakuya ya mbusiku na ngombe na mingi mingi" dah nime0na ili zali kula msoc na waziri mkuu fasta nkatafta shuka ya kmasai na b0nge la sket nkajipaka mkaa nkajich0ma ch0ma nitoke alama nkaweka na manGuo 2mbon nkaonekana km mama wa kimasai mwenye mimba fasta nkawafikia huku naruka ruka tumetembea huku tunaimba ile 2meinGia getin nkashanGaa ku0na miGambo kama kumi hv kuna bb flan hv alikuwa mbele kiherehere ana men0 kama ngiri alikutwa buti m0ja kal sana akapepea hakurudi chn dah wakanfata mim nlishanGaa napGwa buti la uso,nkakutwa tiktak ya tumbo na mafimbo ya machoni et wamama wa Kimasai tuna wivu kwa waume ze2 mpaka 2nawaua mahawara wa waume ze2 wanatuk0mesha dah 2mechezea vichapo nimepGwa mateke meng vbaya mno et mi ndo naongoza wakackia nalia saut ya kiume wamentoa manGuo yote waka0na mi c mwanamke wakataka et wanizalishe mtoto mwarabu dah nimepata upenyo nimetoka nduk kal sana mi nlijua 2napGa msoc na wasiri mukuu kumbe mabut dah kuparamia huku.
Posted on: Thu, 15 Aug 2013 16:20:24 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015