Poko wana famia kambi ya lorokon kwa wiki moja na serikali - TopicsExpress



          

Poko wana famia kambi ya lorokon kwa wiki moja na serikali inakimia.badala kutoa helicopter mbili na kumalisa hiyo kazi.kambi sa polisi ya kenya na yajeshi ati pokot wanaua askari ndio apate risasi na bunduki ngine.lasima serikali ijue kijana yako akiwa mwahalifu kukushinda funga jela ama ua ndio ubaki na Amani.ama kama ni biashara ya watu fulani prominent serikalini,mwambieni watu wakae wakijua.ni wapi ati commuti inafamia communiti nyingine ati aue watu na anyakue arithi?
Posted on: Sun, 24 Nov 2013 09:45:06 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015