Ripoti kama tunavyojulishwa ni kwamba dakika kadhaa kabla ya saa - TopicsExpress



          

Ripoti kama tunavyojulishwa ni kwamba dakika kadhaa kabla ya saa sita za usiku, kikosi cha polisi, kile cha KDF na maafisa wa vikosi maalum waliweza kulinasua jumba la Westgate kutoka mikononi mwa magaidi. Kupitia mitandao yao, vikosi hivi viliwasilisha ujumbe kuwa jumba la Westgate lipo chini ya doria ya vikosi vya usalama vya Kenya. Habari zaidi ni kuwa manusura waliobaki wapo huru na washukiwa zaidi ya 10 wametiwa nguvuni. Kwa ripoti kamili, tegea Milele FM na runinga ya K24Tv
Posted on: Tue, 24 Sep 2013 00:38:23 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015