nilikuwa zangu masikani nakuywa chai na mihogo akapita mama mmoja - TopicsExpress



          

nilikuwa zangu masikani nakuywa chai na mihogo akapita mama mmoja akaniita na kuanza kuniuliza Mama-unaweza ukaja kwangu ninashida na wewe Mussa-unashida gan na mimi mama? Mama-wewe usiwe na wasiwasi Mussa-sawa mama ngoja nimalizie kunywa chai halafu nije Mama-uwahi basi -basi nikanywa chai fasta fasta nikachukua maji nikajimwangia fasta nikatupia suruali yangu ya kaki nikachukua na basikel yangu ya phonex hadi kwao na maza nimeyakuta majamaa matatu yamevaa miwani daa nimeogopa sana mara lijimama likatokea likaniambia ahsante sana kwa kuja pindi nashangashangaa mara majamaa yakanidaka limama likaniambia unakumbuka ile siku uniibiaga viatu na ukakimbia kwa akili yako ulufiri sitokukapata leo ndo mwisho wako daa nimejitetea sana lakini wapi mama kakomaa majamaa yakaanza kunipa kipingo wamenivulisha suruali yangu ya kaki nikabaki na boxser iliyochanika nimetoka speed ndani nikachukua phoenix yangu hadi masikani daa jiani watu wamenicheka sana
Posted on: Sat, 22 Jun 2013 07:02:59 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015