stori inaanza hapa - TopicsExpress



          

stori inaanza hapa ktk maisha kila m2 upenda kuwa na muonakano tofaut na mwengine ata cc 2siokuwa nazo 2napenda kujipandisha hali ya kuwa 2nayajua maisha ye2 halisi hiki ndicho kinacho2ponza na kufanya weng we2 2ingie ktk mkumbo wa kopoteza malengo yaliyo2peleka shule asa sisi wanafunz 2siokua na mipaka 2naojiongoza wenyewe wanafunzi kuanzia ngazi ya cheti na kuendelea.Uhuru ni muhmu sana ktk maisha ya binadam asa anapofiki umri wa u2 uzima lakin uki2miwa vibaya unakuwa ni chanzo cha matatizo na m2 kushindwa kufikia malengo na wengine kuigia kwny matatizo makubwa ambayo yanawaasili kisaikolojia na kushindwa kurudi kwny hali ya kawaida. je umwai kujiuliza kwann ktk maish ya wanafunzi wa elimu ya juu maeneo wanayoisi uwa kuna vibanda umiza ambavyo wana2mia dada ze2 kuflash (abotion) na kama akuna vibanda vya dizain hii basi kunamtandao wa madaktari ambao anakuwana maagent wao kwa ajili ya shughuli kama hizi Mana akuna sehm yenye maamuz machafu kama kwa wanafnz wa elimu ya juu huu ni ukwli usiopingika kwa wanafunz wa elimu ya juu wanaume kushea mwanamke mmoja na ata wanawake tana masukini ya mungu sijui ata kama wanakumbuka zana. Wanaume na wanawajekulala chumba kimoja ata kipindi kingine inafikia kufanya uchafu kweny kordo. Ata wakati mwengn inafikia mwanaume na mwanamk kalala kitanda kimoja cha juu na mwengine akiwachin peke yake unweza jua ni utani lakin ni maisha halis na hii ni tabia ya wanafunz karibia aslimia 70 ya wanafunz wa elimu ya juukiakiliyakawaida uwezi kupata usingizi mwenzako akiwa na m2 wa jinsia tofauti na wewe upo ndani ya chumb hicho chuo ni sehemu ya kupata ujuzi na kujifunza maisha ya kujitegemea lakini kunatabia tofauti kwan ktk maisha ya sasa huo ni sehmu ya kufanya maasi wa2 kusaliti ndoa zao, mimba zisizotalajiwa, matumizi ya pesa mabovu, ukahaba uliokisili ma mengine meng yasiosimulika naweza sema mwanafnzi wa chuo ana tofauti na wanyama wasio na akili mana wamekosa aibu kwa kakisili matendo maovu ambayo kibinadam ayasitaili kufanya na wa2 wa elimu ya juu.
Posted on: Wed, 13 Nov 2013 23:30:48 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015