Dira yako inaweza ikapotea pale unapo fanya mambo ya ajabu - TopicsExpress



          

Dira yako inaweza ikapotea pale unapo fanya mambo ya ajabu ilakwangu nijitahidi kujikinga na mambo hayo nilkuwa na marafiki wengi but sikubadilika nikuwa kama nilivyo nikajitahidi kuto kubadilika mpaka nikaamuwa kutangza kuwa NIMEOWA ili heshima iwepo na kweli nilifanikiwa na heshima ikawepo japo nimegombana na marafiki zangu kisa nilipotangza kuwa nimeowa but sio kweli ila kunawatu wanataka kuniharibia ila nnachosema hakuna atakae weza kuharibu but kumbuka kuwa KIKULACHO KINGUNI MWAKO.hakuna marafiki wote wanafikiiiiiiiiiiiiiiiiii
Posted on: Sun, 27 Oct 2013 12:19:54 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015