Huu ni Ujumbe kwa Wanaume wenzangu popote ulipo...Uanaume sio - TopicsExpress



          

Huu ni Ujumbe kwa Wanaume wenzangu popote ulipo...Uanaume sio mchezo.Tafuteni Pesa Usiku na Mchana! Ukiona Kila Mdada Mzuri unayejaribu kujisogeza- sogeza kwake ili baadae uweze kujiweka awe wako haoneshi dalili ya ku-respond na hata aki-respond basi atakuwa anakuita majina ambayo yanakupa Alarm tu kwamba NETWORK NOT REACHABLE HERE jua wallet yako ina Pancha! Mtu unamuonyesha kabisa unampenda halafu yeye anakuita SHEM WANGU, SHEM AKE,SHEM JEMBE,SHEM LAKE MIE,SHEM BOO BOO...Sasa ukishaitwa Shem ndo imekula kwako,humpati hata kwa kikombe cha babu wa Loliondo Ukiona Msichana unampenda na anajua kabisa unachotaka halafu anakubandika jina SHEM SHEM ujue ndugu yangu huna Hela,Kemea kabisa Pepo la kuitwa Shemeji! Wahenga wa Siku hizi wanasema,UKIWA HUNA HELA,WASICHANA WOOOTE WAZURI WATAISHIA KUKUITA SHEMEJI Ukitaka kuitwa Baby na huna hela,nenda kijijini kaoe huko utawapata wenye magaga,mjini kila Msichana mzuri ana Price Tag kama nguo za MR PRICE Mashemeji mpoo???
Posted on: Wed, 23 Oct 2013 08:54:58 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015