Kigwangallah: Nimepewa majina wabunge dawa za kulevya: Wamo CCM, - TopicsExpress



          

Kigwangallah: Nimepewa majina wabunge dawa za kulevya: Wamo CCM, Chadema Mbunge wa Nzega (CCM), Dk. Khamis Kigwangallah, amesema amepokea majina ya wabunge, viongozi wa serikali na wafanyabiashara maarufu nchini ambao ni mapapa wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya. Hata hivyo, Dk. Kigwangallah ambaye amepania kuwataja bungeni watu wanaojihusisha na biashara hiyo haramu, amesema baada ya kukabidhiwa majina hayo kutoka kwa wananchi, anafanya uchunguzi na kupata ushahidi ili kujiridhisha kabla hajachukua hatua ya kuwataja. Miongoni mwa majina ya wabunge aliyopewa wamo kutoka CCM na Chadema, na wafanyabiashara maarufu wote wanatoka mkoa wa Dar es Salaam. Soma habari yote hapa: chademadiaspora.blogspot/2013/09/kigwangallah-nimepewa-majina-wabunge.html
Posted on: Mon, 02 Sep 2013 07:01:25 +0000

Trending Topics



d road
Movie Dialogues :Naam kucho naahi hai humaar lekin pata nahi
Philippine travellers... we need your advice! We have found that
This is hard reading but we must do it. Every medical
This is an important book, not only because it chronicles the
On the verge of this year’s festival season Bobina delivers a
About girls.. Gals are one who b4 goin out for a
Inusah Fuseini and the entire staff of the abbatoir your current
Inna lillahi w inna ilahi rajioon Another great Scholar at the

Recently Viewed Topics




© 2015