Usione niko kimya kwa ubaya, niko kwa Mungu nabembeleza jina lako - TopicsExpress



          

Usione niko kimya kwa ubaya, niko kwa Mungu nabembeleza jina lako liwekwe kwa list ya watakaofika mwaka Ujao...2014 Napata shida kubembeleza ju maovu uliyoyafanya yamepita kipimo, But uncle yangu Abraham amenipromise atabonga na grandpa Adam aongee na Yesu aongee na Mungu akusaidie. Nikifaulu nitakujulisha... mimi jina langu limepita...unabahati nakupenda....Basi 2ma kitu angalau uwe umetoa sadaka. Yani kupanda mbegu. Phahahahahaha
Posted on: Thu, 26 Sep 2013 15:57:08 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015