WATU 44 WAUWAWA NIGERIA Watu wanaodhaniwa kuwa ni waislamu wenye itikadi kali wameshambulia kijiji na kuwauwa watu 44 huko kaskazini mashariki mwa Nigeria mapema wiki hii.(24.08.2013) Taarifa zinasema unyama huo umefanyika katika kijiji cha Demba kilichopo karibu na mji wa Baga kaskazini mwa jimbo la Borno, sehemu iliyokuwa ngome ya kundi la Boko Haram.soma zaidi>>>mussashimba.blogspot/2013/08/watu-44-wauwawa-nigeria.html#links
Posted on: Sun, 25 Aug 2013 17:37:14 +0000