GARETH BALE mwingereza wa 5 nnamshuhudia toka nianze kufwatlia - TopicsExpress



          

GARETH BALE mwingereza wa 5 nnamshuhudia toka nianze kufwatlia soka akienda kuchezea REAL MADRID ila sjui atatamba coz wenzake nao walienda wakiwa moto lakin wakarud majanga tu JONATHAN WOODGATE jamaa alikuwa bonge moja la bek majerui na inconsistency yakaua kiwango chake anapata D MICHAEL OWEN jamaa alipshana na UEFA akat anaondoka liver akakutana na ushndan wa namba kutoka kwa Ronaldo R9 na RAul japo alijtaid kdogo anapata c STEVE McMANNAMAN kabla ya Gerald kulikuwa na huyu jamaa ndo alekuwa anaibeba liver, aspokuwepo uyu jamaa liver hamna kitu alikuwa mkali sana ktk ule mrad wa kwanza wa galacticos japo badae akaflop anapata B.ndo mchezaj mwenye asist nyng zaid #2 ktk history ya epl DAVID BECKHAM naye alijtaid kiaina kwa micm yake 4 pale madrid japo aliondoka na goli 13 na asist kbao.ktk history ya epl anashka namba 3 ktk wachezaj wenye assist nyng wa mda wote epl.anapata B positive JE BALE ANAWEZA PATA A?????????????
Posted on: Thu, 05 Sep 2013 10:59:17 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015