Heri wewe usiye sabiliwa makosa na zambi mbele ya baba yetu aliye - TopicsExpress



          

Heri wewe usiye sabiliwa makosa na zambi mbele ya baba yetu aliye juu mbinguni,ufalme wa MUNGU ni wako,wandugu tusameyane makosasa na zambi akuna mutakatifu: Na palikuwa na ndugu moja ambaye alikuwa na deni ya boss wake ,sasa akakosa ginsi ya kulipa na tena hana pesa, muchahara, salaire ni ndogo mno , mara akalomba uruma kwa boss, na mara boss aka musameya, deni, sasa yeye walimusameya ,akashindwa sameya naye mutu alikuwa na deni yake ndogo kuliko ile alikuwa nayo kwa boss wake, N:B ndugu yangu tusameyane zambi, makosa kati yetu, bila kusameya atuta ingiya katika ufalme wa mbiguni, UFALME WA MUNGU NI NYEMBAMBA HERI YULE ATAKE PITA KWA MULANGO NYEMBAMBA.
Posted on: Wed, 24 Jul 2013 10:26:18 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015