Hivi karibuni, Mtumishi wa Mungu, maarufu kama Nabii TB Joshua - TopicsExpress



          

Hivi karibuni, Mtumishi wa Mungu, maarufu kama Nabii TB Joshua alitabiri kua Rais mmoja katika nchi za Afrika ya Mashariki atatekwa ama kushambuliwa na magaidi. Kwa wale wanaomwamini Mungu, ni vema tukamwomba Maulana, Mungu mwenye enzi yote, Bwana wa Majeshi amwepushie haya Rais wetu mtukufu Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, bila kujali itikadi za kisiasa. Wito kwa Majeshi ya Ulinzi na Usalama: Lisemwalo lipo. Ulinzi kwa Rais kikwete uimarishwe mara dufu, awapo ndani au nje ya nchi. The LORD will watch over your coming and going both now and forevermore (Psalms121:8). إن كنت ريحاً فقد لاقيت إعصاراً(Quran 4:1)
Posted on: Mon, 11 Nov 2013 20:55:11 +0000

Trending Topics



Open Source Initiative OSI - TheX.Net, Inc. License
decadent shepherds pie. 1/4 to 1/3 lb. ground beef 1/4 lb thick
Jonathan nominates Corps Marshall, Osita Chidoka as Minister *Dr
Debut di Moto3, Adik Rossi Tak Kaget Dikerubungi

Recently Viewed Topics




© 2015