hehehe Wapi madanda wa maths kama mimi unakumbuka ukifanya exam - TopicsExpress



          

hehehe Wapi madanda wa maths kama mimi unakumbuka ukifanya exam Math alafu: *watu wanatoa ruler but wewe huoni place ina apply *watu wanaitisha extra paper nawewe umemaliza na paper haijafika halfway. *umepewa graph paper na unarudisha kama hujaitumia *watu wanachora diagrams na pencil ,wewe hujui nini inachorwa but pia unatoa pencil ndio uache kushtuka. *mnaulizwa nani amemaliza, unaamka unajipata uko solo, unafil aibu hadi unaketi
Posted on: Fri, 12 Jul 2013 08:41:27 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015