ANAOMBA USHAURIIIIIIIIIIII Admin dada uyu anaomba ushaur wenu - TopicsExpress



          

ANAOMBA USHAURIIIIIIIIIIII Admin dada uyu anaomba ushaur wenu naitwa roz nina miaka 21 nilipokua mdogo wazaz wng walifarik nikalelewa nakijana mmja ambae alikua ni msaidiz wakaz kwe2 na hiyo ilikuja baada ya nyumba ya wazaz kupigwa mnada kutokana na maden ya benk kaka uyo mwnye miaka 25 sasa alijitaid kunisomesha na nikawa kama mke wake mpka sasa lkn 2natumia kinga ili nisipate ujauzito kaka huyu kajitahid kunisaidia mpka nikamaliza 4m 4 na hiv sasa nipo chuo magogon naxomea recording apa chuon kajitokeza kijana akanitongoza nikamkubalia na nimetokea kumpenda xanah nifanyaje na uyu mtu anaenisaidia naona si type yng kwn kaishia darasa la pil 2 nasubir ushaur wenu.... MPENI VYAKE MSIMWOGOPE
Posted on: Tue, 08 Oct 2013 11:01:25 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015