Mtazamo wangu kuhusu afrika mashariki ni huu, kutokana na Tanzania - TopicsExpress



          

Mtazamo wangu kuhusu afrika mashariki ni huu, kutokana na Tanzania kuto kubali araka mchakato wa kuziunganisha nchi izi 5 kwa kuofia raia wake kuwa awakujiandaa vya kutosha ndio maana nchi kama kenya na rwanda ambazo hazina aridhi ya kutosha zime zila na kususia baadhi ya masula ya east afrika. na badala yake kuanzisha umoja wao fiki,BIG UP SANA JAKAYA RAIS WANGU JEMBE KOMAA,KAZA BABA VIVYO HIVYO, KWANZA HATUTEGEMEI KITU CHOCHOTE KUTOKA NCHI IZO NARUDIA KAZA JEMBE LANGU LA KUSAKA PESA WAKUACHE UFUKUE GASS KISHA THE BLUE DIAMOND KIGAMBONI KAMA ULAYA MBONA WATAKOMA NA ROHO ZAO MBAYA.
Posted on: Wed, 30 Oct 2013 23:56:30 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015