*Hata panga iwe kali kiaje haiwezi kata kiu *hata uwe - TopicsExpress



          

*Hata panga iwe kali kiaje haiwezi kata kiu *hata uwe kinyozi hodari aje huwezi nyoa vichwa vya habari *hata uwe msafi aje huwezi nawa mikono wakati wakukula hongo *hata ukule kiapo mara mia njaa itabaki pale pale *hata uwe na magari mia saba chooni utaenda miguu *hata uzame vipi huwezi toka na samaki katika dimbwi la mapenzi *hata historia ya marehemu iwe nzuri aje haipigiwi makofi *hata uwe fundi aje huwezi repair breaking news. *hata ukuwe mweupe aje shadow yako bado itakuwa nyeusi *Hata nyani awe mtaalamu vipi, hawezi rukia branch ya benki *Hata ukuwe mcaring aje, Huwezi saidia bibi yako kubeba mimba *hata manzi ajifanye maringo aje, pia simba na ukali wake hutiwa mimba! *hata uwe na heshima vipi huwezi mpokea polisi bunduki
Posted on: Sat, 05 Oct 2013 21:17:53 +0000

Trending Topics



Recently Viewed Topics




© 2015